Saturday, April 17, 2021

Ku forward calls bila kutumia code(Ku forward calls kwa kufanya setting kwenye simu yako)

Zipo aina au machaguo mengi kwenye call forwarding hivyo yaweza kuwa ni vigumu kukalili code zote ili upate kuweza kuzitumia. zifuatazo ni njia ambayo itakusaidia kuweza kufanya call forwarding bila kutumia codes.

Hatua ya kwanza nenda kwenye setting

Hatua ya pili baada ya kubonyeza sehemu ya setting chagua call

Hatua ya tatu baada ya kuchagua call, chagua call forwarding

Hatua ya nne baada ya kuchagua call forwading ,chagua voice call

Hatua ya tano baada ya kuchagua voice call ,chagua aina ya call forwading unayoitaka(always forward ,forward when busy, forward when unanswered,forward when unreachable)

Hatua ya sita andika namba utayo ambayo simu zote zitakazokuwa zinapigwa zitakuwa zinapelekwa huko na kupokelewa huko.

baada ya kuweka hiyo namba utakuwa tayari umefanikiwa kuunganisha call forwarding kikamilifu, na utaona alama kwa juu ya simu yako ikiashiria simu imefanyiwa call forwarding.

Kama utapenda kujua kufanya setting za call forwarding kwa kutumia code ,rejea katika post zangu zilizopita.

2 comments: